MWAKILISHI
LIFESTYLE NEWS

Ruto Admits He Would Have Been Happier If His Daughter Married a Kenyan Man

John Wanjohi Jul 13, 2021

Deputy President William Ruto has opened up about his daughter’s marriage to a Nigerian national. Speaking during an interview on Radio Jambo, Ruto admitted that he would have been happier if his first-born daughter June Ruto got married to a Kenyan man.

June tied the knot with Qatar-based Nigerian lecturer and businessman Alexander Ezenagu in a lavish ceremony held in Nairobi on May 27th. 

Ruto hilariously revealed that the Igbo man pipped Kenyan man only identified as Ochieng’ in the race for June’s heart.

“Ningefurahi sana kama msichana wangu angepata mkenya lakini ni mpango wa Mungu and uamuzi wake pia. Kulikuwa na wakati niliskia fununu kulikuwa na jamaa anitwa Ochieng’, nilikuwa nimemwona lakini akapotea, sijui kulindaje,” Ruto jokingly said.

He added: “Msiwe mnatuletea hasara, sasa unajua huyu msichana tumemsomesha, amesoma USIU, ameenda Australia. Sasa ndio huyo amepelekwa na wa Nigeria. Tumefaidika Zaidi kama tungepata mtu wa huku. Bado niko na wasichana, sasa mimi nawaombea kina Irungu, Ochieng wajipange wasizubae.”

Ruto said he advised her daughter to be submissive to her husband. “Nilimwambia wao tena sio wa kiwango moja, yeye akubali kwamba ako chini ya mume wake. Hapo ndipo familia itajengwa.” 

At the same time, the deputy president poured praises on his wife Rachel, saying she is the best thing that happened in his life. 

“Huyo (Rachel ) ndio amefanya hii famila yangu ikawa successful. Kwa sababu nilipata mke karibu na malaika. Hapo ndio mambo yangu ilienda vizuri. Ni bahati ya mungu kupata mke ambaye anakuombea, anakuelewa, anakusaidia katika kazi, hapo ndio unapata bahati ya kupiga hatua ya kwenda mbele.”

Share this article
View Full Article