Over 2,000 Kenyan Doctors Deregistered for Flouting Regulations

Over 2,000 Kenyan Doctors Deregistered for Flouting Regulations

The Kenya Medical Practitioners and Dentist Board (KMPDB) has deregistered 2275 medical practitioners for flouting regulations.

The regulator says the 2,063 doctors and 212 dentists drawn from both the public and private health sector have been delisted for failing to comply with Section 14 of the Medical Practitioners and Dentists Act.

The affected medical practitioners failed to apply to be retained on the register as required by industry regulations.

KMPDB has made the decision following a meeting on March 29th, where the board resolved to strike out names of non- compliant practitioners from the register.

“We did not take the action out of malice. The doctors and dentists knew about the requirements and were given ample time to comply, but they simply failed to do so without giving us reasons. We have no option but to let the law take its course,” the Board says.

The public can access the list of delisted doctors and dentists on the board's website.

The deregistered medics must reapply for their annual retention for them to be reinstated.

Kenyan doctors must have a license from the board to be allowed to offer treatment to patients or operate medical facilities.

Cases of quack doctors in the health industry have been on the rise in recent years with the most recent case being that of Mugo Wa Wairimu, who was arrested late last year for running an illegal clinic in Nairobi.

Comments

MjuAji (not verified)     Fri, 04/19/2019 @ 12:46pm

Udaktari, kama kazi nyinginezo, ni moja ya utaalamu ambao huchukuliwa na wananchi kuwa wa hekima kuu. Ni kazi ambayo daktari hujivunia pale mgonjwa anapopata nafuu. Sijui lakini madaktari wa nyingi kama Uswizi, Cuba na India, huifanya kazi hio tu kwa upendo, kujitolea na majivuno mengi kwa wagonjwa wao. Lakini hivyo sivyo ilivyo na hawa wa Marekani na hasa wale wa Jamhuri ya Kenya. Mle Kenya, madaktari huyaweka maslahi yao mbele ya wagonjwa wao. Hata ingawa madaktari hawa husomeshwa na mali ya umma, kinyume na hapa Marekani ambapo daktari anapofuzu, huwa na deni inayokadiriwa kuwa kati ya $250,000-$500,000, ambao ni mkopo ambao anatarajiwa kuulipa baada ya kufuzu. Lawama zinazoelekezwa madaktari wa Kenya ni za kuogofya, kuchukiza, kulaaniwa, kishetani na hasa madhambi wanayowatendea aagonjwa wao. Visa vya madaktari kuonekana hospitalini kwa masaa mawili, kisha kutoweka hadi kliniki zao, ni bayana. Madaktari kutibu wagonjwa magonjwa yasio, kuwa wagonjwa madawa yasiofaa, wizi wa madawa na vifaa vya serikali, kupokea mlungura wa kati ya asilimia kumi hadi kumi na tano kwa kutoka sehemu nchi mbali mbali ulimwenguni, ni bayana. Katika miaka ya 2015-2018, madaktari wa Kenya walipokea kiinua mgongo kinachozidi mabillioni ya Rupees kutoka mahospitali hasa India(Mumbai na Delhi) na Afrika Kusini. Katoka visa vingi nilizoshuhudia, Madaktari wa Kenya hushirikiana na hospitali na na madaktari wa Mumbai na New Delhi pale wanapoelekeza wagonjwa katika hospitali zao. Kuna makampuni chungu nzima ambayo ni ya madaktari hawa hawa ambayo humtafutia mgonjwa hospitali, kibali cha kusafiria, kibali cha kuitembelea nchi hizo, tiketi ya ndege, pahala pa kuishi wakiwa ugenini, hospitali na madaktari watakao washughurikia hadi watakaporudi nyumbani. Yote haya kwa gharama ya wagonjwa hawa. Na kwa sababu hawataki kupatikana wakipokea hongo hizo, wao hununua tiketi ya kwenda hospitali hizo ili kuzopokea. Wanaoumia sana ni wagonjwa wanaougua maradhi ya saratani ambao gharama kulipia hospitali huwa ya juu sana, kati ya R2.5 millioni hadi R8.0 miliioni. Pia magonjwa kama vile ya moyo, figo, na maini yamelengwa na madaktari kwani ndio yanayowapa kiwango kikubwa cha rupees. Ni katika miaka ya 2016 na 2017 tulipopokea habari kwamba takriban madaktari wa Kenya 8000 walikuwa wanachunguzwa na wizara ya afya kuhusiana na jama hizo za kuwanyonya wagonjwa. Hata hivyo, uchunguzi huo ulififia pole pole na waweza kubahatisha kilichofuata baadaye. Habari kuwa zaidi ya 2000 wameng'olewa kutoka orodha ya madaktari walioruhusiwa na jopo hilo kuwa madaktari ni hila tu ya kuficha wanayoyatenda.

Add new comment

The content of this field is kept private and will not be shown publicly.

Plain text

  • No HTML tags allowed.
  • Lines and paragraphs break automatically.
  • Web page addresses and email addresses turn into links automatically.
CAPTCHA
6 + 9 =
Solve this simple math problem and enter the result. E.g. for 1+3, enter 4.
This question is for testing whether or not you are a human visitor and to prevent automated spam submissions.