Lupita's Brother Junior Nyong'o Responds to Gay Claims

Lupita's Brother Junior Nyong'o Responds to Gay Claims

Lupita Nyong’o's younger brother, Junior has responded to an online user who claims that he is a homosexual. 

In a tweet, a user identified as @jamrick_m claims that both Junior and his sister Lupita are gays.

He goes ahead to accuse them of letting down their father, Kisumu Governor Anyang Nyong'o for subscribing to the 'Western culture'.

“Kisumu Governor Anyang’ Nyong’o son is a woman & his daughter a man! What! a……..Bizarre! So wameamua tu kumaliza mzae (dad) kabisa n cancer is knocking enyewe money at times is shitty I’d rather die than live to see my kids emulating that Western f*cking culture,” tweets @jamrick_m.

Responding to the user, Junior states: “You didn’t even have the COURAGE to @ me. At least I live my life with the self-love and confidence you’d only dream about. Simply hate to see it.”

This prompted another user, @jackrobinz to ask Junior to set the record straight about his sexual orientation.

“Okay..so @JuniorNyongo just to put things clear for me with no intention of offending you..are you gay? A cross-dresser? transexual? Semenya-like? or just a man fascinated by female wear?” poses @jackrobinz.

In his response, Junior refused to give a definite answer by simply saying: “I’m a proud Luopean.”

Junior has on different occasions spotted wearing dresses and other women's clothes including underpants.

JNR

Recently, his sister sparked lesbian rumors after she was captured on tape getting cozy with American singer Janelle Monae, an openly gay.

Comments

Mugikuyu (not verified)     Wed, 05/15/2019 @ 12:29pm

This young man looks very manly in that pink dress😀. His beard intact, manly pose etc. I just don't get the sissy white skirt pose or even the bikini one. That's wild wonder what Kisumu governor has to say.That said how do we determine sexuality based on what we wear? Women seem to be excepted in this as they don whatever pleases them from the men's rack. Talk of privilege!

nahyuhbiz (not verified)     Wed, 05/15/2019 @ 02:18pm

Why do people care what someone does with THEIR life??? I'm shook. It's like me being on a diet and seeing you eat a cake and getting offended by it! He's not hurting anyone so????

Imara Daima (not verified)     Wed, 05/15/2019 @ 03:22pm

Asiyefunzwa na wazazi wake, hufunzwa na ulimwengu usio na huruma.
Tukiendelea kuigaiga (imitate) mila, imani, tabia za waliotupiga msasa (those whose brainwashed us) tutakuwa "wafrika kwa rangi tu." Tutakuwa kama ndugu zetu Wafrika waliouzwa Marekani na wakristo Wanayuropa. Hawa Ndugu zetu (African Americans) ni Wafrika tu kwa "rangi." Lakini kila kitendo na pia mawazo yao yote ni ya "Wanayuropa." Kama huniamini, jaribu kupata mke au mume kutoka kwa Wafrika Wamarekani hawa! Utaona cha mtema kuni.

MjuAji (not verified)     Wed, 05/15/2019 @ 04:19pm

Uzazi ni jukumu la kutatanisha kweli kweli. Mzazi yeyote yule huwalea watoto wake wawe raia wema katika siku za usoni. Na Gavana Anyang Nyong na mkewe walifanya vivyo hivyo. Hakuna kitu kinachomkera mzazi hapa Marekani hasa unapoona wanao wakiiga tabia na mienendo ya wakaazi wa nchi hii. Wanachokitafuta Lupita, na hasa nduguye, ni sifa, hadhi na pesa. Asichokijua nduguye ni kwammba atakipata akitafutacho bila kudodokwa na jasho, kwani ushoga na washoga wametapakaa kote kote pembe zote Marekani: kazini, vilabuni, kanisani na misikitini. Ni Wakenya wangapi ambao nawajua hivi sasa ambao ni mashoga? Ni wangapi ambao mime nawajua wamepitana na mituto ya risasi? Marekani ni nchi ambayo kwayo, ushoga ni hali tu ya kawaida. Wanaume kuvaa na kujirembesha kwa vipodozi, bangili, makorokoro, herini, mavazi ya kike yanayofikia magotini ni hali ya kawaida. Kuna wengine wanaodai walizaliwa na homoni ya kike au kiume. Kama ni kweli hio ni shauri yao! Kuna wengine wanaodai walijiingiza katika ushoga kwa kupenda, kupitia msongo rika(peer pressure). Kuna wengine wanaodai kwamba watafanya operesheni ya kubadirisha jinsia yao, wawe wake au wame. Chochote kile, hilo ni chagua lao. Lakini katika mila na utamaduni wa Kiafrika, ni wapi pale ulezi ulipowapa Wakenya mwanya wa kutamani tabia na matendo ya kinyama, kama umbwa, kinyume na maumbile na Mwenyezi Mungu. Shauri langu kwa wanao Gavana Anyang Nyong, ni kuwa, hapa Marekani sifa mtazipata, pesa tele mtazipata, utajiri mwingi mtajifisha...kwani mashoga wa Marekani wamechoshwa na walioko hapa, watamanio ni sura geni, ufundo mpya na mitindo tofauti kutoka kwenu. Ni wazazi wenu je? Bure kabisa nyinyi.

Kenya (not verified)     Wed, 05/15/2019 @ 05:03pm

"a people out of the land of Egypt, oafterward destroyed those who did not believe. 6 And pthe angels who did not stay within their own position of authority, but left their proper dwelling, he has kept in eternal chains under gloomy darkness until the judgment of the great day— 7 just as qSodom and Gomorrah and rthe surrounding cities, which likewise indulged in sexual immorality and spursued unnatural desire,4 serve as an example by undergoing a punishment of eternal fire".

Imara Daima (not verified)     Wed, 05/15/2019 @ 05:10pm

Ndugu yangu @MjuAji:

Umenguruma (roared) kwa kishindo kama simba wa bara!

Haikosi huyu Ndugu yetu @MjuaAji ni mzaliwa wa lugha ya Kiswahili. Ni furaha kweli kuona jinsi Kiswahili kimefikia kiwango ambacho unaweza kusema au kuandika jambo lolote ulifikirialo huku ukitumia lugha yetu tukufu ya Kiswahili.

Asante sana @MjuaAji kwa kuchangia (contribute) sana kwenye mada (topic) hii ya ushoga.

MjuAji (not verified)     Thu, 05/16/2019 @ 04:25am

In reply to by Imara Daima (not verified)

Shukran ndugu yangu kwa kunitambua na kukitambua, kukiendeleza, kuisambasa na kuikimu lugha hii tamu ya Kiswahili isitokomee katika kikapu cha sahau. Si kwamba nakielewa Kiswahili kwa ufasaha na usanifu kama unavyonena. Ila tu hujikakamua na kujikaza kikondoo kwa kukitumia kidogo nilicho nacho kusambaza utamu wa lugha hii inavyostahili. Nimekuwa mwandishi wa bulogi(blogs) na mtoa maoni katika jarida hili la Mwakilishi nafikiri tangu 2006 hadi wa leo. Si kwamba nakielewa Kiswahili kwa ufasaha, ila hujikakamua kutumia kidogo nilicho nacho kukipa Kiswahili uhai unaostahili. Lakini kila nilipodhubutu kuiendeleza lugha hii kwa usanifu kwa wenzetu, "Mwakilishi" na baadhi ya Wakenya walianza kunitema kunikashifu kama mate mara kwa mara. Kisa na sababu?
Nalikusudia kulichafua jarida lake kwa kutumia ya mama, ya akina yahe. Nikaacha kuandika kwa mashairi ya Kiswahili, blogi za Kiswahili, na kuzingatia zile za Kiingereza. Kuna daktari Njoroge aliye kuwa pia akiandika blogu za Kiswahili katika Mwakilishi. Baadaye akatoweka hadi wa leo. Nikahamia Jambonewspot ya jimbo la Texas ambapo niligongeshwa chini kama kamasi mchangani. Ni jambo la kughadhabisha unapowaona Wakenya wazaliwa Kenya wakiwahutubia na kuwahubiria wenzao kwa lugha ya Kiingereza cha Kimarekani. Hudhuria sherehe za harusi, kongamano za Wakenya, harambee, siku ya kuzaliwa au katika ushirika wa waumini, lugha inayotawala kikao hicho chote ni ile ya Wamarekani. Gotta, gorah, Gaad, wonna, n.k. zinafokafokwa na kila anaye simama kunena. Nakumbuka kuna mchungaji aliyetupwa nje wa kanisa kwa kuhubiri kwa ufasaha kwa lugha hii, nami pia nikakuhama kule. Wakenya ni sampuri ya binadamu ambao hawajivunii mila, lugha na desturi yao. Wataongea Kiswahili wapangapo foleni katika maduka ya Walmart, Sears, JCPenny, Macys, Home Depot, Lowes, BurgerKing, MacDonald, na unapowambia, "Hi, sasa?" Wanashtuka na kukujibu kwa Kiingereza. Mimi huwavulia kofia Wachina, Wakorea, Warusi, Wahispania, Manaija, Wahindi nk, kwa kujivunia lugha na utamaduni wao. Wakenya wakumbuke kwamba unapojaribu kuiga jinsi Wamarekani wanavyoongea, ndivyo lafudhi (accent) inavyowakanganya na kuwa nzito zaidi kwao. Kwa miaka jaribu ishirini, Waamerika tufanyao kazi nao, hawajawahi kunielewa. Lakini wahitajipo msaada au usaidizi wa kikazi, au ninaposhikwa na hasira, wakielewa Kiingereza chao vizuri sana. Kumbuka hata hao wenyewe hawaelewani, kwa sababu lafudhi za Texas, New York, North Carolina, Philly, Baltimore, Dakota, West Virginia, na hasa sehemu zile ambazo utumwa na ubaguzi wa rangi ulipamba moto, matamshi na unenaji wa maneno ni tofauti kabisa. Napendezwa na baadhi ya Wakenya wanaorudisha neno moja mbili katika Mwakilishi na kongamano zozote zile. Ni kheri kuwa SISI, kufunza watoto wetu lugha na utamaduni wetu kwa sababu watakavyokuwa watu wazima, watakukejeri wewe, kukushtumu wewe, na kukulaumu wewe kwa kutoajibika kama mzazi kumlea kwa ulezi unaofaa. Sio kula kumlisha, kumvalisha, kumpa elimu na kikao...la hasha. Kuna zaidi ya hayo. Nawapongeza wazazi ambao nyumbani, wanaongea Kiswahili, Kijaluo, Kikuyu, Kiluhya, Kikamba nk. Lakini shuleni...Kiingereza cha Marekani.

mkenya halisi (not verified)     Wed, 05/15/2019 @ 05:33pm

For the folks who consider them christians the bible says God will lock the homosexual,dogs outside n will never inherit his kingdom!Maushoga,masheteni,is worse than corruption n gava need to flash such evils out from our society's n send them to hell where they belong.I said other day the parents who have kids in majuu b prepared for yr sons to bring u male or daughters to bring u females as their partners juu this is part of the western dreams especially in usa/uk don't b shocked.Hii ushetani nilazima tuikatae kabisa.Its s copyed stinking behaviours not something ur born with.Shetani ashidwe

Imara Daima (not verified)     Thu, 05/16/2019 @ 12:59am

Ndugu yangu @Mkenya Halisi:

Binadamu ndiye shetani halisi. Hakuna shetani mwingine ambaye haonekani au amejificha pangoni (in the cave) au mbinguni (in the sky).

Maumauagain (not verified)     Thu, 05/16/2019 @ 02:35pm

why do we care!! he is not hitting on you or bothering you in any way. Who cares if he is gay or not, focus on corruption in Kenya in my opinion is worse than a poor kid being gay

Maurine (not verified)     Wed, 05/22/2019 @ 05:47am

Each one of us has the liberty to be what we want to be . why bother why spend time analyzing others affairs. let them be I have a niece who is such it is hard to deal with it but we simply have to accept their choices

Add new comment

The content of this field is kept private and will not be shown publicly.

Plain text

  • No HTML tags allowed.
  • Lines and paragraphs break automatically.
  • Web page addresses and email addresses turn into links automatically.
CAPTCHA
4 + 2 =
Solve this simple math problem and enter the result. E.g. for 1+3, enter 4.
This question is for testing whether or not you are a human visitor and to prevent automated spam submissions.