'I Don't Trust You': Miguna Miguna Reveals How Raila Clashed with His Son Junior over Mock Swearing-in

'I Don't Trust You': Miguna Miguna Reveals How Raila Clashed with His Son Junior over Mock Swearing-in

Deported Kenyan lawyer Miguna Miguna has revealed how Opposition leader Raila Odinga clashed with his son Junior over his reluctance to take oath as people's president following 2017 disputed presidential election.

In his new book titled Treason, Miguna has spilled the beans on the events leading to Odinga's mock swearing-in ceremony on January 30th, 2018.

Miguna says that Junior confronted his father at a meeting held at the DusitD2 Hotel, which was recently attacked by terrorists.

Junior was reportedly angry at his father for postponing the swearing-in ceremony after a request by his National Super Alliance (Nasa) co-principal Musalia Mudavadi to allow Kalonzo Musyoka to return to the country from Germany, where he was taking care of his ailing spouse.

Miguna says Junior, businessman Jimi Wanjigi, Siaya Senator James Orengo, and himself didn't buy the idea of calling off the ceremony.

“Dad? Look at me, Dad,” Junior persisted, "Look at me! Why do you think I have been attending these meetings…all of a sudden? Ask yourself why. I have never taken part in your political activities before. But I have been coming to these meetings. Why?” He fixed Raila with a stern gaze. There was total silence in the room." Miguna writes.

“I am a very experienced politician. I know what I’m doing,” Raila mumbled, his teeth clenched. He was trying to intimidate and muzzle his son, Junior." Miguna explains.

“Yes, I agree that you are very experienced. That’s not in doubt and I am not in doubt and I’m not questioning it. I agree that I’ve no political experience. But I am a Kenyan. And right now, I don’t trust you. I don’t believe in you. You are disappointing me. And that’s the way millions of Kenyans think. Now, if I cannot trust you right now and I’m your son who loves you a lot, how will you regain the trust of all those Kenyans who will trust in you completely the moment they hear you have refused to be sworn in? Tell me How?” Junior replied.

The tension was palpable. Raila Junior was visibly upset.

“Jakom,” Wanjigi said. “You cannot back out now. We must go on with the program.”]

Comments

Mugikuyu (not verified)     Tue, 01/29/2019 @ 12:46pm

Poor Raila under pressure from his son and Wanjigi. People who have never experienced what torture is and what it means to be an enemy of the state. First of all Wanjigi is just self centered and trouble maker.Grew up with a silver spoon in his mouth afadhali hata junior who has seen his parents suffer under Moi.

Mwororo (not verified)     Tue, 01/29/2019 @ 01:41pm

Raila knew the truth. He had lost the elections and was reluctant to do the wrong thing. That's why the whole swearing in was masterfully crafted to avoid any language that would trigger treason. It was just a show. That's why after swearing in, Raila didn't know what to do next. Clowning up as people's President was useless and hopeless. He had hit a cul-de-sac-hence the handshake to salvage his sinking political ship.

Dr. Koni Hanene (not verified)     Tue, 01/29/2019 @ 02:21pm

Miguna is such nonsensical person. Mr. Miguna, get a life!!!. Stop interfering with Kenya's internal affairs. You are not a Kenyan and you need to leave Kenyan political affairs to the Kenyans. Our Statesman Prime Minister Raila is a very experienced person and knows what he does. If you had listened to me you would not be in the situation you are today

One2ManyDayz (not verified)     Tue, 01/29/2019 @ 03:11pm

Time always tell. We now know who is experienced RAO, who was right RAO, who knew what they were doing RAO. All the others had the role of flower girls.

mkenya halisi (not verified)     Tue, 01/29/2019 @ 09:27pm

Like father like son.Mtoto wa nyoka ni nyoka?This family is cursed!They will pay dearly with the innocent blood they have continued to spill in this kenya!Damu ya watu sio ya wanyama!

njai (not verified)     Tue, 01/29/2019 @ 11:27pm

Mwakilishi why are you calling this foreigner "Kenyan lawyer"? After selling only 21 copies of his previous book, I don't see this latest fiction selling anything.

maxiley (not verified)     Wed, 01/30/2019 @ 01:11am

Yes indeed RAO is very experienced.How many 75 year olds can pull off adeal that guarantees them over sh.800,000 amonth just for a "mere handshake".?

Imara Daima (not verified)     Wed, 01/30/2019 @ 02:00pm

@Njai: Sikubaliani nawe kwa jambo hili la uraia. Je, yai la nyoka likilaliwa na kuku huanguliwa (hatch) nyoka au kifaranga (chicken)?

Unaona vile nchi ya Israel imeendelea kuliko nchi nyingi kwa sababu myahudi yeyote hata azaliwe mwezini na kuchukkua uraia wa mwezi akirudi Israel yungali Myahudi/Mwisraeli.

Kwa nini umesahau ya kwamba Miguna alitoroka Kenya wakati mkristo Toroitich alikuwa akiwaua na kuwatesa Wakenya wenzake. Nchi ya Kenya iliwapoteza watu wengi sana ambao wangeisaidia nchi yetu wakati wa mateso mabaya ya mkristo Toroitich.

Kwenye ukombozi wa Kenya wa pili ambao Uhuru na mkristo hawakushiriki Wakenya wengi sana waliuawa na kuteswa kwenye "Jumba la Nyayo.) Umesahau? Mambo ya Miguna yaliamuliwa na mahakma kuu ya Kenya ya kwamba Miguna arudishiwe pasipoti yake mara moja na "Nyang'au mkristo Matiang'i amekataa kutii sheria ya nchi!

Dancun (not verified)     Wed, 01/30/2019 @ 02:18pm

Miguna your book cannot be bought if you don't mention Raila.You never mentioned your wife in most of your boobks.l don't know whether Raila sleeps next to your bed or...

njai (not verified)     Wed, 01/30/2019 @ 02:57pm

Sasa Ndugu @Imara kuja pole pole. Wewe ni mzee kinara kwenye jukwaa hili lakini kwa mara ya kwanza tunakusikia unarusha mapande ya matusi kihorera. Omba msamaha tafadhali.

Imara Daima (not verified)     Wed, 01/30/2019 @ 04:14pm

Ndugu @Njai: Asante sana kwa kunikosoa (criticize). Nitajitahidi (I will make an effort) kustaafu (to retire) kutoka kwenye kilabu (club) ya watoa matusi.

Naomba msamaha kwa wananchi na binadamu wenzangu niliowakosea kwa kuwarushia matusi kama makombora (missiles): Samahani sana Ndugu Matian'gi lakini nakuomba utii maagizo ya mahakma kuu ya taifa na kumrudisha nyumbani mzaliwa na pia mzalendo Ndugu yetu Miguna Miguna.

Ningependa Ndugu Matiang'i ujue ya kwamba, ulipomfukuza nchi aliyozaliwa, Miguna alikuwa na pasipoti ya Kenya na pia kitambulisho cha taifa. Mimi nimekuomba msamaha. Yakubidi nawe umwombe Miguna msamaha na pia mahakma kuu ya nchi kwa kutofuata mambo waliyokuambia ufanye.

Nawatakieni nyote kila la kheri.

Imara Daima (not verified)     Thu, 01/31/2019 @ 11:53am

Ndugu @Njai: Miguna alikuwa na pasipoti na kitambulisho cha Kenya siku alipoingiliwa nyumbani kwake huko Runda. Ndiyo sababu sielewi kwa nini serikali inaweza kukunyang'anya pasipoti halali (legal) iliyokupa halafu ikutendee mambo iliyomtendea Ndugu yetu Miguna. Kama serikali ikiamua kutofuata sheria za nchi, kama Matiang'i alivyofanya, kwa kawaida nchi hufifia na kudidimia polepole. Hakuna aliye juu ya sheria. Hata Matiang'i hayuko juu ya sheria. Alikataa kabisa kutii sheria ya nchi aliyoambiwa afanye juu ya Miguna. Kusema kweli hafai hata kidogo kuwa mfanyi kazi wa serikali.

Hakuna taasisi (institute) ambayo ina haki kukutendea mambo ya ajabu kama hayo! Ingalifaa kama wangempeleka kortini halafu korti ya Kenya iamue kifungo chake. Kama nijuavyo, mahakma ya Kenya ilimwambia Ndugu Matiang'i ampeleke kortini halafu Matiang'i akadharau maagizo ya mahakma na kumpeleka kwenye uwanja wa ndege.

Ningependa ujue ya kwamba, kuna taasisi mbili katika kila nchi ambazo ni muhimu sana. Taasisi hizi kama hazifanyi kazi kulingana na sheria, nchi huharibika kabisa na kutawaliwa na hongo, ufisadi, mauaji, ujambazi, utapeli, ubakaji, na pia wizi. Taasisi ya kwanza ni ya polisi, na ya pili ni mahakma. Mambo Miguna aliyofanyiwa na Matiang'i, hayafanyiki katika nchi ambayo inatii na pia kuheshimu mahakma ya nchi. Mara ngapi umesikia kiongozi wa nchi ya Marekani amekatazwa na mahakma mambo anayotaka kuwafanyia binadamu wenzake na kulazimishwa kutii sheria za nchi?

Mimi sina uhusiano wowote na Miguna. Mambo aliyofanyiwa hayajafanyiwa mtu yeyote nchini na pia ni muhimu yasifanyiwe binadamu yeyote tena. Usisahau, Matiang'i alilazimisha vituo vya utangazaji wa habari visitangaze yanayoendelea nchini hata kabla Raila kuapishwa. Mimi sipendi kuona utawala wa nchi ukirudia miaka ya mkristo na pia Mzee Toroitich. Uongozi wa Matiang'i unaturudisha miaka hiyo ya ajabu ya Toroitich.

Kila la kheri.

Imara Daima (not verified)     Thu, 01/31/2019 @ 02:00pm

Ndugu Matiang'i:

Ulimtesa Mkenya mwenzetu Miguna Miguna huku ukisema ingembidi atume barua ya maombi ili apate uraia tena baada ya katiba ya 2010 kukubali uraia wa nchi mbili.

Usilojua ni kuwa, kuna Wakenya wengi ambao hawakutuma barua ya maombi ili kupata uraia wa Kenya baada ya katiba mpya. Walikuwa tayari wameshachukua uraia wa nchi ya Marekani.

Kwa nini huwafuatilii Wakenya ambao hawakufanya uliyotaka Miguna afanye na huku wana uraia wa Kenya na Marekani? Jambo hili la kuwa na misimamo mingi kwa jambo moja (double standard) si jambo ambalo lahitajiwa kuwa kwenye sera (policy) ya nchi huru ya Kenya

Nakuomba utii amri uliyopewa na mahakma kuu ya Kenya na kumrudishia Miguna Miguna pasipoti yake ya Kenya na kumlipia nauli ya ndege kurudi nyumbani. Unatoa mfano mbaya sana wa nchi ya Kenya na ningependa ujue vile ulivyotuaibisha na pia kuiaibisha nchi ya Kenya kwa vitendo vya ajabu ulivyomtendea mzalendo Mkenya mwenzako Ndugu Miguna Miguna nchini Kenya na hasa kwenye uwanja wa ndege. Ulimwaibisha ndugu Raila sana alipofika kwenye uwanja wa ndege kumwona Miguna na ukahakikisha ya kwamba Raila hawezi hata kuzungumza naye.

mkenya halisi (not verified)     Thu, 01/31/2019 @ 08:10pm

miguna has a fake kenyan passport which he was given by kajwang n raila during the corrupt coalition gavament.The same guys who gave miguna fake kenyan pp r the same guys who gave him iin so if miguna was smart he could reapplied the kenyan pp following the law.Wacha akalishe mdomo hio yake kubwa huko ngambo kwa wazungu ndio ashike adhabu mpaka ile time atanjaza makaratasi yake akitaka.Atafute kazi canada atuache sisi hapa kenya tukinjenga nchi!

Imara Daima (not verified)     Thu, 01/31/2019 @ 10:56pm

@Mkenya halisi:

Kitambulisho kilichotolewa na serikali ni halali. Mimi nataka kuona msimamo kama wa nchi ya Israeli duniani kote.
Kwa nini? Ikiwa mzazi wako mmoja ni Myahudi, hata ukizaliwa kwenye jua na uchuke uraia wa jua, wewe ungali Mwisraeli/Myahudi. Ni haki yako na hakuna mtu (Matiang'i) yeyote ambaye anaweza kuchukua au kukunyang'anya uraia wa asili yako ya Kiyahudi.

Mtoto wa ambaye mzazi wake mmoja ni Mmarekani hata akizaliwa nchi yoyote duniani, serikali ya Marekani humpa pasipoti ya nchi ya Marekani.

Mambo Miguna aliyotendewa kwenye uwanja wa Kimataifa wa ndege Nairobi, unampa nafasi kiongozi wa nchi ya
Marekani kuropoka na kutoa matusi na kutuita "Nchi za vyoo vya Lindi."

Tangu tupate uhuru, hakuna rais ambaye amekuwa MWUNGWANA kama Mwai Kibaki. Rais mstaafu huyu alianza kufufua nchi ya Kenya kiuchumi na hakushughulikia mambo ya kutisha kama ya Miguna. Nina hakika Mwai angekuwa rais wakati Raila alipochukua kiapo cha kuwa rais, Mwai hangemfanyia Miguna mambo aliyofanyiwa na serikali ya Jubilee.

Usisahau viongozi hawa wawili wa Jubilee ndio walioimba kwa sauti ya juu sana, "TAWALA KENYA TAWALA..." na wakati huo, watu walikuwa wakiuawa na wengine kuteswa katika "JUMBA LA NYAYO."

Ni muhimu sana mtu yeyote aliyeimba wimbo huu Mzee Toroitich astaafu kabisa kutoka kwenye uongozi wa nchi mnamo mwaka wa 2022.

njai (not verified)     Thu, 01/31/2019 @ 11:49pm

Ndugu @Imara nashangaa sana jinsi unavyo litetea jambazi hili Miguna Miguna. Kwanza kumbuka linabeba pasipoti fake. Pili, lilimwapisha Raila kinyume cha sheria. Tatu, halifanyi kazi yoyote ya maana isipokuwa kupiga mdomo kwenye Tv na kutusi kila mtu. Nne, nasikia limewahi kushitakiwa mashitaka mabaya sana kuhusu ubakaji huko kwao Canada. Tano, limetangaza kuwa litaunda jeshi na kuipindua serikali ya Kenya. Kwa hayo yote ndugu Imara unaona kweli hili jambazi ni hatari sana.

Imara Daima (not verified)     Fri, 02/01/2019 @ 12:28am

Nakusikia Ndugu Njai. Ndiyo sababu Mahakma kuu ya Kenya ilimwamuru (ordered) Ndugu matiang'i ampeleke Miguna kortini.

Mimi simtetei Ndugu Miguna. Mimi simjui wala yeye hanijui. Sina uhusiano wowote naye. Lakini ni lazima sheria ya nchi ifuatwe. Kwa nini matiang'i hakumpeleka kortini? Aliambiwa na mahakma kuu ampeleke Miguna kortini. Halafu akapelekwa kwenye uwanja wa ndege. Je, uwanja wa ndege tangu lini umekuwa ndio mahakma kuu ya nchi? Matiang'i alisomea sheria na kujua kanuni za sheria lini na wapi?

Siku za utawala wa Ndugu Toroitich watu wengi sana waliuawa na kuumizwa na serikali. Toroitich hakufuata sheria yoyote ya nchi kwa sababu hakutaka kuambiwa na mtu yeyote jambo la kufanya.

Kwa kumalizia, ningependa kurudia ya kwamba, sheria ni lazima ifuatwe na hakuna aliye juu ya sheria nchini.

Leo ni Miguna, kesho itakuwa mimi, kesho itakuwa zamu yako kufanyiwa maovu na serikali. Ndiyo sababu kubwa ambayo inanifanya nikatae vitendo vya Matiang'i.
kwa Miguna au kwa Mkenya yeyote.

Imara Daima (not verified)     Fri, 02/01/2019 @ 02:27pm

Kuna wakati mwingine ambapo "serikali" hugeuka na kuwa "adui" wa wananchi. Serikali inapowatumia polisi kuwaua na kuwajeruhi wananchi huwa imekuwa adui wa wananchi.

Wakati wa uchaguzi mwaka wa 2017, Matiang'i aliwatuma askari kuwaua waandamanaji wa ODM. Waandamanaji wengi waliuawa na wengine wakajeruhiwa vibaya sana na askari ambao walipewa amri na ndugu Matiang'i kufanya uhalifu huo.

Wakati wa kuapishwa kwa bandia (fake swearing in ceremony) kwa Ndugu Raila, HAKUKUWA na askari polisi hata mmoja aliyefika kushuhudia sherehe hiyo. Ajabu ni kuwa HAKUKUTOKEA ghasia hata kidogo. Hakuna mtu hata mmoja ambaye aliuawa au kujeruhiwa wakati huo.

Kutokana na mfano nilioutoa, kuna nyakati nyingi ambazo serikali hugeuka na kuwa adui wa wananchi. Ni lazima Matiang'i apelekwe mahakmani kwa kutuma askari kwenda kuwaua wana ODM walipofanya maandamano wakati wa uchaguzi wa 2017.

Mimi si mfuasi wa ODM au Jubilee. Ninatazamia kuona Kenya mpya bila ODM au Jubilee 2022. Pia ninatazamia kuona Mzee Toroitich akikatazwa kuendelea kuichafua nchi ya Kenya kwa kuendelea kumshauri Ndugu Uhuru kwenye uongozi wake. Kama kungekuwa na tuzo (award) ya ufisadi katika nchi ya Kenya, Uhuru angeweza kupokea tuzo nyingi sana. Kwa nini? Ufisadi ambao umefanyika chini ya uongozi wake unapita ufisadi wote wa marais watatu waliotawala Kenya mbele yake!

Msisahau Mzee Toroitich alivyomtendea George Kinuthia Saitoti. Ilifaa amchague Kinuthia kugombea urais wa Kenya wakati zamu yake ya kutawala ilipomalizika mwaka wa 2002. Badala ya kufanya hivyo, alimwokota Ndugu Uhuru awe rais ili kuendeleza utawala wa familia yake na ile ya Hayati Kamau wa Ngengi (Jomo Kenyatta). Kwa hiyo, Mzee Toroitich atakumbukwa kama kiongozi aliyetaka kuanzisha tawala za familia mbili za Wakenya. Kuna uvumi unaosema ya kwamba, Mzee Toroitich sasa anafanya mpango mwanawe Gideon Toroitich achukue nafasi ya urais baada ya Uhuru. WANANCHI: MSIKUBALI MZEE HUYU KUENDELEA KUITAWALA NCHI YA KENYA HUKU AKITUMIA VIBARAKA (puppets) WAKE. Astaafu na aachane na mambo ya siasa kama MWUNGWANA Mzee Mwai Kibaki alivyofanya 2013. Pia, sijamsikia Mwai akifanya mpango mwanawe awe rais wa nchi ya Kenya. Hongera Mzee Mwai.

Add new comment

The content of this field is kept private and will not be shown publicly.

Plain text

  • No HTML tags allowed.
  • Lines and paragraphs break automatically.
  • Web page addresses and email addresses turn into links automatically.
CAPTCHA
12 + 2 =
Solve this simple math problem and enter the result. E.g. for 1+3, enter 4.
This question is for testing whether or not you are a human visitor and to prevent automated spam submissions.