Samia Suluhu Sworn-in as Tanzania's First Female President

Tanzania Vice-President Samia Hassan Suluhu has been sworn-in as the country’s first female President.
Suluhu replaces John Pombe Magufuli, who died of Chronic Atrial Fibrillation at Mzena State Hospital in Dar es Salaam on Wednesday evening.
She was sworn-in in accordance with Article 37 (5) states that “where the office of President becomes vacant by reason of death resignation, loss of electoral qualifications or inability to perform his functions due to physical infirmity, or failure to discharge the duties and functions of the office of President, then the Vice-President shall be sworn in and become the President for the unexpired period of the term of five years.”
In consultation with her party Chama Cha Mapinduzi (CCM), Suluhu is expected to propose the name of the person who shall be the Vice-President, an appointment that must be confirmed by the National Assembly by votes of at least 50 percent of all the Members of Parliament.
Suluhu, 61, made history as the country’s first female vice-president when Magufuli was elected in 2015.
She previously served as a minister of state under the vice-president’s office and MP for Makunduchi constituency from 2010 to 2015.
Speaking after her swearing-in on Friday, Suluhu declared 21 days of mourning, during which all national flags in the country will fly at half-mast.
She announced that Magufuli will be laid to rest on March 25th at his rural home in Chato District.
Magufuli was elected as the country's fifth president in 2015 and re-elected for a second term in October 2020.
Comments
Hongera sana Dada Samia…
Permalink
Hongera sana Dada Samia Suluhu Hassan kwa kuapishwakuwa Rais wa kwanza mwanamke na pia Mwislamu katika nchi ya Tanzania.
Nakushukuru sana Hayati Ndugu Pombe Magufuli kwa kumchagua Dada Samia kuwa makamu wako wa rais. Isitoshe, ulimteua waziri mkuu Ndugu Kassim Majaliwa ambaye pia ni Mwislamu kuwa kiongozi wa Tanzania.
Sasa, nchi ya Tanzania ina viongozi wote wawili wa imani ya Kiislamu. Katika nchi ya Tanzania, imani yako au idadi (population) ya asili yako haikuzuii kuwa kiongozi wa taifa.
Nilipendezwa sana nawe, wakati ulipoapishwa kuwa rais huku ukitumia lugha ya KiBantu ya Kiswahili. Hongereni sana WaTanzania kwa kuikuza lugha ya Kiafrika kuwa lugha mojawapo ya lugha za Kimataifa.
Ningependa kuona nchi ya Kenya ikichukua msimamo wa nchi ya Tanzania ambao kila mwananchi wa Kenya anaweza kuwa rais wa Kenya bila kujali asili yake, imani yake, au idadi ya watu wake wa asili.
Mwishowe, kwa nini wajumbe wa bunge wa Kenya hawatumii Kiswahili kwenye shughuli zao zote bungeni? Maoni yangu ni haya: Kama mgombea kiti chochote cha bunge 2022 hawezi kusema Kiswahili, hafai kuchaguliwa kwenye bunge! Kwa nini? Sasa yapata miaka 57 tangu tupate uhuru. Hakuna sababu yoyote ya maana ambayo inaweza kumfanya mtu asijue Kiswahili baada ya muda huu wote.
Imara nakuunga mkono kwa…
Permalink
Imara nakuunga mkono kwa mawazo yako lakini tunatofautiana kwa kuangazia dini ya rais maoni yangu ni kwamba dini haina manufaa yeyote kwa kazi ya urais Tanzania sio nchi ya kidini kama nchi za mashariki ya kati na nikiongeza dini ya kislamu ni dini ya waarabu sio ya wa Tanzania Tuangazie mambo yanayo tuunganisha si yale yanayo tugawanya kwa vikundi kulingana na dini kabila na mambo mengine usinielewe vibaya na heshimu haki ya kila mtu kuifuata imani anayomfaa
Congratulations on being the…
Permalink
Congratulations on being the first female president of Tanzania and by extension “East Africa proper”.Set a good example and maybe hopefully other women will follow in your footsteps.
CONGRATULATIONS MADAM…
Permalink
CONGRATULATIONS MADAM PRESIDENT.
THIS SHOWS HOW SMART MAGUFULI WAS.
TANZANIA BEFORE LONG WILL THE ONE OF THE ECONOMIC GIANTS IN AFRICA.
Ndugu @ RAS Menelik: Asante…
Permalink
Ndugu @ RAS Menelik:
Asante sana kwa kunikosoa. Nakubaliana nawe kwa maoni yako bora. Kusema kweli, nilipotoa maoni yangu hapa, nilikuwa nikifikiria nchi yetu ya Kenya ambayo uongozi wake tangu 1963 umependelea imani fulani, na isitoshe marais wa kutoka kwenye mataifa mawili makubwa tu! Mdabida (Teita) hana nafasi ya kuchaguliwa Rais wa kenya kwa sababu anatoka kwenye taifa dogo (micronation) la Kenya!
Pia, namvulia kofia ya tarabushi Hayati Ndugu Pombe Magufuli kwa kumteua mwanamke kuwa makamu wa rais nchini. Kama si jambo la ujasiri kama hili, sidhani wala sifikirii kuwa Dada Samia angalipata nafasi ya kuwa rais wa Tanzania katika maisha yake.
Nakushukuru sana kwa maoni yako.
Wimbo mtamu wa kumkumbuka…
Permalink
Wimbo mtamu wa kumkumbuka Hayati Pombe Magufuli kwa kazi na miradi aliyofanya kwa muda wa miaka mitano tu. Hongera Ndugu.
https://youtu.be/FrAZ5Lzf5AU
Congrats madam president of…
Permalink
Congrats madam president of Tanzania. I am proud of you. I hope Kenyan women will get there.
Add new comment